28/09/2018 ÿú #MVNYERERE#MV TITANIC#MVSPICEISLANDERZIJUE Ajali Mbaya 10 Za Meli Zilizotikisa DuniaWengi wanajua Habari maarufu ya Meli ya Titanick Baada kuigizwa kwenye Fi.
25/09/2018 ÿú #MVNYERERE #MVBUKOBA #AJALIZAMELISIMANZI! Meli Zilizowahi Kuzama TZ Na Kuua Watu Wengi ZaidiWakati bado watanzania wakiwa kwenye maombelezo ya kuwaombolezea.
Ajali za meli Zipo aina nyingi za ajali za meli , lakini nyingi zimekuwa ni za meli za kubeba mizigo, ambazo mara nyingi ndizo zinazosafiri umbali mrefu. Mara nyingi mambo yanayoweza kusababisha ajali za meli ni kubeba vitu vinavyozidi uwezo wake, upangaji mbaya wa mizigo, machafuko ya bahari, vyombo kugongana pamoja na kugonga miamba baharini.
22/09/2018 ÿú #HabarkKwanza #MeliKuzama #FahamuKuhusuMfuatiiaji wa Habari Kwanza fahamu kuhusu ajali za meli zilizowahi kutokea nchini Tanzania. Imo pia ajali ya Bukoba il.
21/07/2012 ÿú KUZAMA kwa meli ya Skagit Jumatano iliyopita ni ajali ya tatu ya aina hiyo kutokea hapa nchini na kusababisha vifo vya watu wengi.Mwaka 1996, ilitokea ajali ya MV Bukoba iliyozama Ziwa Victoria, ambayo kwa mujibu wa takwimu za Msajili wa Vizazi ?;"